Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Wafilipi 2:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Hapana, bali alijiondolea mwenyewe hali yake na kuchukua umbo la mtumwa+ na kuwa kama wanadamu.+

  • 1 Timotheo 3:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kwa kweli, ni jambo lenye kukubalika kwamba siri takatifu+ ya huu ujitoaji-kimungu ni kubwa: ‘Yeye alifunuliwa katika mwili,+ alitangazwa kuwa mwadilifu katika roho,+ alionekana kwa malaika,+ alihubiriwa kati ya mataifa,+ aliaminiwa katika ulimwengu,+ alipokewa juu katika utukufu.’+

  • Waebrania 2:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Basi, kwa kuwa “watoto wachanga” ni washiriki wa damu na mwili, yeye pia vivyo hivyo aliyashiriki mambo hayohayo,+ ili kupitia kifo+ chake apate kumwangamiza+ yule aliye na uwezo wa kusababisha kifo,+ yaani, Ibilisi;+

  • 1 Yohana 4:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Mnalijua neno lililoongozwa na roho kutoka kwa Mungu+ kwa njia hii: Kila neno lililoongozwa na roho linalomkiri Yesu Kristo kuwa alikuja katika mwili hutokana na Mungu,+

  • 2 Yohana 7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwa maana wadanganyifu wengi wametokea katika ulimwengu,+ watu ambao hawamkiri Yesu Kristo kuwa alikuja katika mwili.+ Hao ndio yule mdanganyifu+ na mpinga-Kristo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki