Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 1:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na tazama! ukaja upepo mkubwa+ kutoka eneo la nyikani, nao ukazipiga pembe nne za ile nyumba, hivi kwamba ikawaangukia wale vijana, nao wakafa. Nami nikaponyoka, mimi peke yangu, ili nikuambie.”

  • Ayubu 2:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Basi Yehova akamwambia Shetani: “Tazama, yumo mkononi mwako! Ila tu ujihadhari na nafsi yake!”

  • Ufunuo 6:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Naye alipofungua muhuri wa tano, nikaona chini ya madhabahu+ nafsi+ za wale waliouawa+ kwa sababu ya neno la Mungu na kwa sababu ya kazi ya ushahidi+ waliyokuwa nayo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki