Mambo ya Walawi 17:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana nafsi ya mwili iko katika damu,+ nami mwenyewe nimeiweka juu ya madhabahu ili ninyi mfanye upatanisho+ kwa ajili ya nafsi zenu, kwa sababu damu+ ndiyo hufanya upatanisho+ kupitia nafsi iliyo ndani yake. Ufunuo 17:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nami nikaona kwamba yule mwanamke amelewa damu+ ya watakatifu na damu ya mashahidi wa Yesu.+ Basi, nilipomwona nilishangaa kwa mshangao mkubwa.+
11 Kwa maana nafsi ya mwili iko katika damu,+ nami mwenyewe nimeiweka juu ya madhabahu ili ninyi mfanye upatanisho+ kwa ajili ya nafsi zenu, kwa sababu damu+ ndiyo hufanya upatanisho+ kupitia nafsi iliyo ndani yake.
6 Nami nikaona kwamba yule mwanamke amelewa damu+ ya watakatifu na damu ya mashahidi wa Yesu.+ Basi, nilipomwona nilishangaa kwa mshangao mkubwa.+