Ufunuo 18:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Ndiyo, ndani yake ilipatikana damu+ ya manabii+ na ya watakatifu+ na ya wale wote ambao wameuawa juu ya dunia.”+ Ufunuo 19:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 kwa sababu hukumu zake ni za kweli na za uadilifu.+ Kwa maana ametekeleza hukumu juu ya yule kahaba mkubwa aliyeiharibu dunia kwa uasherati wake, naye amelipiza kisasi damu ya watumwa wake mkononi mwake.”+
24 Ndiyo, ndani yake ilipatikana damu+ ya manabii+ na ya watakatifu+ na ya wale wote ambao wameuawa juu ya dunia.”+
2 kwa sababu hukumu zake ni za kweli na za uadilifu.+ Kwa maana ametekeleza hukumu juu ya yule kahaba mkubwa aliyeiharibu dunia kwa uasherati wake, naye amelipiza kisasi damu ya watumwa wake mkononi mwake.”+