Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Luka 11:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Yule ambaye hayuko upande wangu ananipinga, na yule ambaye hakusanyi pamoja nami anatawanya.+

  • 1 Yohana 2:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Ni nani aliye mwongo kama si yule anayekana kwamba Yesu ndiye Kristo?+ Huyo ndiye mpinga-Kristo,+ yeye anayemkana Baba na Mwana.+

  • 1 Yohana 4:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 lakini kila neno lililoongozwa na roho ambalo halimkiri Yesu halitokani na Mungu.+ Zaidi ya hayo, hili ndilo neno lililoongozwa na roho la yule mpinga-Kristo ambalo mmesikia kwamba linakuja,+ na sasa tayari limo ulimwenguni.+

  • Yuda 4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Sababu yangu ni kwamba watu fulani wameingia ndani kisirisiri+ ambao tangu zamani za kale walitangulia kutajwa+ na Maandiko kwa ajili ya hukumu hii,+ watu wasiomwogopa Mungu,+ wanaozigeuza fadhili zisizostahiliwa za Mungu wetu kuwa kisingizio cha mwenendo mpotovu+ na kumkana+ Mmiliki+ na Bwana+ wetu pekee, Yesu Kristo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki