Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 21:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Dhabihu ya waovu ni chukizo.+ Na mtu anapoileta akiwa na mwenendo mpotovu+ ni zaidi.

  • 2 Wakorintho 12:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Labda, nitakapokuja tena, huenda Mungu wangu akaninyenyekeza katikati yenu, nami huenda nikaomboleza juu ya wengi kati ya wale ambao hapo zamani walitenda dhambi+ lakini hawajatubu kutokana na unajisi wao na uasherati+ na mwenendo mpotovu+ ambao wamezoea kutenda.

  • Wagalatia 5:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Sasa matendo ya mwili ni wazi,+ nayo ni uasherati,+ uchafu, mwenendo mpotovu,+

  • 2 Petro 2:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Wana macho yenye kujaa uzinzi+ na yasiyoweza kuachana na dhambi,+ nao huzishawishi nafsi zisizo imara. Wana moyo uliozoezwa kutamani.+ Wao ni watoto waliolaaniwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki