Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wakorintho 5:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Katika barua yangu niliwaandikia ninyi mwache kuchangamana katika ushirika na waasherati,

  • Waefeso 5:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Uasherati+ na ukosefu wa usafi wa kila namna au pupa+ visitajwe hata kidogo katikati yenu,+ kama inavyowafaa watu watakatifu;+

  • Wakolosai 3:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa hiyo, viueni+ viungo vya mwili+ wenu vilivyo duniani kwa habari ya uasherati, uchafu, hamu ya ngono,+ tamaa yenye madhara, na kutamani,+ ambako ni ibada ya sanamu.

  • Ufunuo 2:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “ ‘Hata hivyo, nina hili dhidi yako, kwamba unamvumilia yule mwanamke Yezebeli,+ anayejiita mwenyewe nabii, naye anafundisha+ na kuwapotosha watumwa wangu+ wafanye uasherati+ na kula vitu vilivyotolewa dhabihu kwa sanamu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki