Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 16:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Na ikawa kana kwamba lilikuwa ni jambo dogo zaidi+ kwake kutembea katika dhambi za Yeroboamu+ mwana wa Nebati, sasa akamchukua Yezebeli+ binti ya Ethbaali, mfalme wa Wasidoni,+ kuwa mke wake+ naye akaanza kwenda kumtumikia Baali+ na kumwinamia.

  • 2 Wafalme 9:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Na ikawa kwamba mara tu Yehoramu alipomwona Yehu, mara moja akasema: “Je, kuna amani, Yehu?” Lakini yeye akasema: “Kunaweza kuwa na amani+ gani wakati kungali na uasherati wa Yezebeli+ mama yako na ulozi wake mwingi?”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki