Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 20:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “‘Nayo nafsi inayowaendea wenye kuwasiliana na pepo+ na wajuzi wa kubashiri+ matukio ili kufanya uasherati nao, nitauweka uso wangu juu ya nafsi hiyo na kumkatilia mbali kutoka katikati ya watu wake.+

  • Kumbukumbu la Torati 18:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Asipatikane ndani yako yeyote anayempitisha mwana wake au binti yake katikati ya moto,+ yeyote anayefanya uaguzi,+ mwenye kufanya uchawi+ au yeyote anayetafuta ishara za bahati+ au mlozi,+

  • 1 Wafalme 18:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na sasa tuma watu, unikusanyie Israeli wote katika Mlima Karmeli+ na pia wale manabii 450 wa Baali+ na wale manabii 400 wa ule mti mtakatifu,+ wanaokula mezani pa Yezebeli.”+

  • Malaki 3:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Nami nitawakaribia ninyi ili kuhukumu,+ nami nitakuwa shahidi wa haraka+ juu ya walozi,+ na juu ya wazinzi,+ na juu ya wale wanaoapa kwa uwongo,+ na juu ya wale wanaoupunja mshahara wa mfanyakazi,+ na mjane+ na mvulana asiye na baba,+ na wale wanaomfukuza mkaaji mgeni,+ wala hawakuniogopa mimi,”+ Yehova wa majeshi amesema.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki