17 nao wakaendelea kuwapitisha motoni+ wana wao na binti zao na kufanya uaguzi+ na kutafuta ishara za bahati,+ nao wakaendelea kujiuza+ ili kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova, ili kumtia uchungu;+
16 Na ikatukia kwamba tulipokuwa tukienda pale mahali pa sala, kijakazi fulani mwenye roho,+ roho mwovu wa uaguzi,+ akakutana nasi. Yeye alikuwa akiwapatia mabwana zake faida+ nyingi kwa kufanya ufundi wa kubashiri.