Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 18:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Asipatikane ndani yako yeyote anayempitisha mwana wake au binti yake katikati ya moto,+ yeyote anayefanya uaguzi,+ mwenye kufanya uchawi+ au yeyote anayetafuta ishara za bahati+ au mlozi,+

  • 2 Mambo ya Nyakati 33:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Naye mwenyewe akawapitisha wanawe mwenyewe motoni+ katika bonde la mwana wa Hinomu,+ akafanya uchawi+ na kutumia uaguzi+ na kufanya ulozi+ na kufanyiza wenye kuwasiliana na pepo+ na wajuzi wa kubashiri+ matukio. Alifanya kwa kiasi kikubwa yale yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova, na kumtia uchungu.+

  • Mika 5:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nami nitakatilia mbali ulozi kutoka mkononi mwako, nawe hutaendelea tena kuwa na watu wowote wanaofanya uchawi.+

  • Matendo 16:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na ikatukia kwamba tulipokuwa tukienda pale mahali pa sala, kijakazi fulani mwenye roho,+ roho mwovu wa uaguzi,+ akakutana nasi. Yeye alikuwa akiwapatia mabwana zake faida+ nyingi kwa kufanya ufundi wa kubashiri.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki