3 Naye akaendelea kutembea katika njia ya wafalme wa Israeli,+ na hata akampitisha mwana wake mwenyewe katika moto,+ kulingana na machukizo+ ya mataifa ambayo Yehova aliyafukuza kwa sababu ya wana wa Israeli.
3 Naye akafukiza moshi wa dhabihu+ katika bonde la mwana wa Hinomu,+ akateketeza wanawe+ katika moto, kulingana na machukizo+ ya mataifa ambayo Yehova alikuwa ameyafukuza kutoka mbele ya wana wa Israeli.+