Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 12:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Usimfanyie hivyo Yehova Mungu wako,+ kwa maana kila kitu kinachochukiza kwa Yehova, ambacho anachukia wameifanyia miungu yao, kwa maana hata wana wao na binti zao wao huwateketeza motoni kwa ukawaida kwa ajili ya miungu yao.+

  • Zaburi 106:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Nao wakachangamana na hayo mataifa+

      Na kuanza kujifunza matendo yao.+

  • Ezekieli 16:47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Nawe hukutembea katika njia zao, wala hukufanya kulingana na machukizo yao.+ Baada ya kitambo kidogo sana hata ulianza kutenda kwa uharibifu zaidi kuliko walivyofanya katika njia zako zote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki