Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 15:63
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 63 Lakini wale Wayebusi+ waliokuwa wakikaa katika Yerusalemu,+ wana wa Yuda hawakuweza kuwafukuza;+ basi hao Wayebusi wanaendelea kukaa pamoja na wana wa Yuda katika Yerusalemu mpaka leo hii.

  • Waamuzi 1:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Naftali+ hakuwafukuza wakaaji wa Beth-shemeshi na wakaaji wa Beth-anathi,+ lakini waliendelea kukaa kati ya Wakanaani waliokaa katika nchi;+ na wakaaji wa Beth-shemeshi na wale wa Beth-anathi wakawatumikia katika kazi ya kulazimishwa.+

  • Hosea 7:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Lakini Efraimu naye huchangamana binafsi na vikundi vya watu.+ Efraimu amekuwa keki ya mviringo ambayo haikugeuzwa upande mwingine.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki