63 Lakini wale Wayebusi+ waliokuwa wakikaa katika Yerusalemu,+ wana wa Yuda hawakuweza kuwafukuza;+ basi hao Wayebusi wanaendelea kukaa pamoja na wana wa Yuda katika Yerusalemu mpaka leo hii.
33 Naftali+ hakuwafukuza wakaaji wa Beth-shemeshi na wakaaji wa Beth-anathi,+ lakini waliendelea kukaa kati ya Wakanaani waliokaa katika nchi;+ na wakaaji wa Beth-shemeshi na wale wa Beth-anathi wakawatumikia katika kazi ya kulazimishwa.+