2 Wafalme 16:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Badala yake, alitembea katika njia ya wafalme wa Israeli,+ na hata alimteketeza* motoni mwana wake mwenyewe,+ akifuata mazoea yenye kuchukiza ya mataifa+ ambayo Yehova alikuwa ameyafukuza kutoka mbele ya Waisraeli. 2 Wafalme Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 16:3 ip-1 8; w97 7/15 14 2 Wafalme Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 16:3 Unabii wa Isaya 1, kur. 8-9 Mnara wa Mlinzi,7/15/1997, uku. 14
3 Badala yake, alitembea katika njia ya wafalme wa Israeli,+ na hata alimteketeza* motoni mwana wake mwenyewe,+ akifuata mazoea yenye kuchukiza ya mataifa+ ambayo Yehova alikuwa ameyafukuza kutoka mbele ya Waisraeli.