Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 16
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Wafalme 16:1

Marejeo

  • +Isa 1:1; 7:1; Ho. 1:1; Mik 1:1; Mt 1:9

2 Wafalme 16:2

Marejeo

  • +2Nya 28:1

2 Wafalme 16:3

Marejeo

  • +1Fa 12:28; 16:33; 21:26; 2Fa 8:18; 2Nya 28:2
  • +Law 20:2; Kum 18:10; 2Fa 23:10; 2Nya 28:3; 33:6; Zb 106:37; Isa 57:5; Yer 7:31; Eze 16:20; 23:37
  • +Kum 12:31; Zb 106:35; Eze 16:47

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Unabii wa Isaya 1, kur. 8-9

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/1997, uku. 14

  • Fahirishi ya Machapisho

    ip-1 8; w97 7/15 14

2 Wafalme 16:4

Marejeo

  • +Hes 33:52
  • +1Fa 14:23; Yer 17:2
  • +Kum 12:2

2 Wafalme 16:5

Marejeo

  • +2Fa 15:37
  • +2Nya 28:6
  • +2Nya 28:5

2 Wafalme 16:6

Marejeo

  • +2Fa 14:22

2 Wafalme 16:7

Marejeo

  • +2Fa 15:29
  • +1Fa 20:4
  • +Zb 146:3; Yer 17:5; Omb 4:17

2 Wafalme 16:8

Marejeo

  • +1Fa 15:18; 2Fa 14:14; 2Nya 16:2
  • +2Nya 19:7

2 Wafalme 16:9

Marejeo

  • +2Sa 8:6; 2Fa 14:28; 2Nya 28:5; Isa 7:6
  • +Amo 1:5
  • +Isa 22:6; Amo 9:7
  • +Isa 7:1; 9:11

2 Wafalme 16:10

Marejeo

  • +2Fa 16:7
  • +2Fa 15:29
  • +Kum 12:30; 2Nya 28:23; Yer 10:2
  • +Zb 106:39

2 Wafalme 16:11

Marejeo

  • +Isa 8:2
  • +Yer 23:11; Eze 22:26

2 Wafalme 16:12

Marejeo

  • +2Nya 26:16; 28:25
  • +Hes 18:4, 7

2 Wafalme 16:13

Marejeo

  • +Law 1:3
  • +Law 2:2
  • +Law 2:1; 1Nya 23:29
  • +Law 23:13

2 Wafalme 16:14

Marejeo

  • +1Nya 28:12; 2Nya 4:1
  • +1Fa 6:1

2 Wafalme 16:15

Marejeo

  • +Isa 8:2
  • +Kut 29:39; Hes 28:2; 2Nya 28:23
  • +Hes 28:4
  • +Law 4:22; 22:21; 2Nya 7:4; 29:21

2 Wafalme 16:16

Marejeo

  • +Isa 8:2
  • +2Fa 16:11

2 Wafalme 16:17

Marejeo

  • +2Nya 28:24; 29:19
  • +1Fa 7:28
  • +1Fa 7:27
  • +1Fa 7:38; 2Nya 4:6; Yer 52:20
  • +1Fa 7:23; 2Fa 25:13
  • +1Fa 7:25; Yer 52:20

2 Wafalme 16:19

Marejeo

  • +1Fa 14:29; 2Nya 28:26

2 Wafalme 16:20

Marejeo

  • +2Nya 28:27
  • +2Fa 18:1; 1Nya 3:13; 2Nya 29:1; Isa 1:1; Ho. 1:1; Mt 1:9

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Fal. 16:1Isa 1:1; 7:1; Ho. 1:1; Mik 1:1; Mt 1:9
2 Fal. 16:22Nya 28:1
2 Fal. 16:31Fa 12:28; 16:33; 21:26; 2Fa 8:18; 2Nya 28:2
2 Fal. 16:3Law 20:2; Kum 18:10; 2Fa 23:10; 2Nya 28:3; 33:6; Zb 106:37; Isa 57:5; Yer 7:31; Eze 16:20; 23:37
2 Fal. 16:3Kum 12:31; Zb 106:35; Eze 16:47
2 Fal. 16:4Hes 33:52
2 Fal. 16:41Fa 14:23; Yer 17:2
2 Fal. 16:4Kum 12:2
2 Fal. 16:52Fa 15:37
2 Fal. 16:52Nya 28:6
2 Fal. 16:52Nya 28:5
2 Fal. 16:62Fa 14:22
2 Fal. 16:72Fa 15:29
2 Fal. 16:71Fa 20:4
2 Fal. 16:7Zb 146:3; Yer 17:5; Omb 4:17
2 Fal. 16:81Fa 15:18; 2Fa 14:14; 2Nya 16:2
2 Fal. 16:82Nya 19:7
2 Fal. 16:92Sa 8:6; 2Fa 14:28; 2Nya 28:5; Isa 7:6
2 Fal. 16:9Amo 1:5
2 Fal. 16:9Isa 22:6; Amo 9:7
2 Fal. 16:9Isa 7:1; 9:11
2 Fal. 16:102Fa 16:7
2 Fal. 16:102Fa 15:29
2 Fal. 16:10Kum 12:30; 2Nya 28:23; Yer 10:2
2 Fal. 16:10Zb 106:39
2 Fal. 16:11Isa 8:2
2 Fal. 16:11Yer 23:11; Eze 22:26
2 Fal. 16:122Nya 26:16; 28:25
2 Fal. 16:12Hes 18:4, 7
2 Fal. 16:13Law 1:3
2 Fal. 16:13Law 2:2
2 Fal. 16:13Law 2:1; 1Nya 23:29
2 Fal. 16:13Law 23:13
2 Fal. 16:141Nya 28:12; 2Nya 4:1
2 Fal. 16:141Fa 6:1
2 Fal. 16:15Isa 8:2
2 Fal. 16:15Kut 29:39; Hes 28:2; 2Nya 28:23
2 Fal. 16:15Hes 28:4
2 Fal. 16:15Law 4:22; 22:21; 2Nya 7:4; 29:21
2 Fal. 16:16Isa 8:2
2 Fal. 16:162Fa 16:11
2 Fal. 16:172Nya 28:24; 29:19
2 Fal. 16:171Fa 7:28
2 Fal. 16:171Fa 7:27
2 Fal. 16:171Fa 7:38; 2Nya 4:6; Yer 52:20
2 Fal. 16:171Fa 7:23; 2Fa 25:13
2 Fal. 16:171Fa 7:25; Yer 52:20
2 Fal. 16:191Fa 14:29; 2Nya 28:26
2 Fal. 16:202Nya 28:27
2 Fal. 16:202Fa 18:1; 1Nya 3:13; 2Nya 29:1; Isa 1:1; Ho. 1:1; Mt 1:9
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Wafalme 16:1-20

2 Wafalme

16 Katika mwaka wa kumi na saba wa Peka mwana wa Remalia, Ahazi+ mwana wa Yothamu mfalme wa Yuda akawa mfalme. 2 Ahazi alikuwa na umri wa miaka 20 alipoanza kutawala, naye akatawala katika Yerusalemu miaka 16; naye hakufanya yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova, Mungu wake, kama Daudi babu yake.+ 3 Naye akaendelea kutembea katika njia ya wafalme wa Israeli,+ na hata akampitisha mwana wake mwenyewe katika moto,+ kulingana na machukizo+ ya mataifa ambayo Yehova aliyafukuza kwa sababu ya wana wa Israeli. 4 Naye akaendelea kutoa dhabihu na kufukiza moshi wa dhabihu katika mahali pa juu+ na juu ya vilima+ na chini ya kila mti wenye majani mengi.+

5 Ndipo Resini+ mfalme wa Siria na Peka+ mwana wa Remalia mfalme wa Israeli wakaja juu ya Yerusalemu katika vita na kumzingira Ahazi, lakini hawakuweza kupigana.+ 6 Ndipo Resini mfalme wa Siria akarudisha Elathi+ kwa Edomu, kisha akawaondoa Wayahudi kutoka Elathi; nao Waedomu wakaingia katika Elathi, wakaendelea kukaa humo mpaka leo hii. 7 Kwa hiyo Ahazi akatuma wajumbe kwa Tiglath-pileseri+ mfalme wa Ashuru, na kusema: “Mimi ni mtumishi+ wako na mwana wako. Njoo uniokoe+ kutoka mkononi mwa mfalme wa Siria na kutoka mkononi mwa mfalme wa Israeli, ambao wanasimama kunishambulia.” 8 Basi Ahazi akachukua fedha na dhahabu iliyokuwa katika nyumba ya Yehova na katika hazina za nyumba ya mfalme,+ akamtumia mfalme wa Ashuru rushwa.+ 9 Ndipo mfalme wa Ashuru akamsikiliza na mfalme wa Ashuru akaenda Damasko+ na kuliteka,+ akapeleka watu wake uhamishoni kule Kiri,+ naye akamuua Rezini.+

10 Kisha Mfalme Ahazi+ akaenda kukutana na Tiglath-pileseri+ mfalme wa Ashuru kule Damasko, naye akaiona madhabahu+ iliyokuwa katika Damasko. Kwa hiyo Mfalme Ahazi akamtumia Uriya kuhani muundo wa ile madhabahu na kielelezo chake kuhusiana na muundo wake wote.+ 11 Na Uriya+ kuhani akaanza kujenga madhabahu.+ Uriya kuhani akaijenga kulingana na yote ambayo Mfalme Ahazi alikuwa ametuma kutoka Damasko, akingojea wakati ambapo Mfalme Ahazi angekuja kutoka Damasko. 12 Mfalme alipokuja kutoka Damasko, ndipo mfalme alipoona ile madhabahu; naye mfalme akaikaribia ile madhabahu+ na kutoa matoleo juu yake.+ 13 Naye akaendelea kutoa toleo lake la kuteketezwa+ na kufukiza moshi+ wa toleo lake la nafaka+ na kumimina toleo lake la kinywaji+ na kunyunyiza damu ya matoleo yake ya ushirika juu ya ile madhabahu. 14 Naye akaleta madhabahu ya shaba+ iliyokuwa mbele za Yehova kutoka mbele ya nyumba, kutoka katikati ya madhabahu yake na nyumba ya Yehova,+ na kuiweka upande wa kaskazini wa madhabahu yake. 15 Na Mfalme Ahazi akatoa amri, naam, kwa Uriya+ kuhani, akisema: “Fukiza toleo la kuteketezwa la asubuhi+ juu ya ile madhabahu kubwa, pia toleo la nafaka la jioni+ na toleo la kuteketezwa la mfalme+ na toleo lake la nafaka na toleo la kuteketezwa la watu wote wa nchi na toleo lao la nafaka na matoleo yao ya kinywaji; na damu yote ya toleo la kuteketezwa na damu yote ya dhabihu unyunyize juu yake. Nayo ile madhabahu ya shaba nitaifikiria.” 16 Na Uriya+ kuhani akafanya kulingana na yote ambayo Mfalme Ahazi alikuwa ameamuru.+

17 Zaidi ya hayo, Mfalme Ahazi akakata+ vipande-vipande kuta za pembeni+ za yale mabehewa,+ akaziondoa beseni+ juu yake; naye akashusha ile bahari+ kutoka juu ya wale ng’ombe-dume wa shaba+ waliokuwa chini yake, kisha akaiweka juu ya sakafu ya mawe. 18 Na jengo lililofunikwa kwa ajili ya sabato ambalo walikuwa wamejenga katika nyumba na njia ya mfalme ya kuingilia ya nje akalihamisha kutoka katika nyumba ya Yehova kwa sababu ya mfalme wa Ashuru.

19 Na yale mambo mengine ya Ahazi, yale aliyofanya, je, hayakuandikwa katika kitabu+ cha mambo ya siku za wafalme wa Yuda? 20 Mwishowe Ahazi akalala pamoja na mababu zake, akazikwa pamoja na mababu zake katika Jiji la Daudi;+ na Hezekia+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki