Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 8:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Zaidi ya hayo, Daudi akaweka kambi za kijeshi+ katika Siria ya Damasko; na Wasiria wakawa watumishi wa Daudi wa kuleta ushuru.+ Na Yehova akaendelea kumwokoa Daudi popote alipoenda.+

  • 2 Wafalme 14:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Kwa habari ya mambo mengine ya Yeroboamu na yote ambayo aliyafanya na uwezo wake, jinsi alivyopigana na jinsi alivyorudisha Damasko+ na Hamathi+ kwa Yuda katika Israeli, je, hayakuandikwa katika kitabu cha mambo ya siku za wafalme wa Israeli?

  • 2 Mambo ya Nyakati 28:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa hiyo Yehova Mungu wake akamtia mkononi+ mwa mfalme wa Siria,+ nao wakampiga na kuchukua kutoka kwake hesabu kubwa ya mateka na kuwaleta Damasko.+ Naye pia akatiwa mkononi mwa mfalme wa Israeli,+ naye akampiga kwa mauaji makubwa.

  • Isaya 7:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Na tupande juu ya Yuda na kuirarua, tuichukue iwe yetu kupitia mashambulizi; nasi tumfanye mfalme mwingine atawale ndani yake, mwana wa Tabeeli.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki