6 Zaidi ya hayo, Daudi akaweka kambi za kijeshi+ katika Siria ya Damasko; na Wasiria wakawa watumishi wa Daudi wa kuleta ushuru.+ Na Yehova akaendelea kumwokoa Daudi popote alipoenda.+
28 Kwa habari ya mambo mengine ya Yeroboamu na yote ambayo aliyafanya na uwezo wake, jinsi alivyopigana na jinsi alivyorudisha Damasko+ na Hamathi+ kwa Yuda katika Israeli, je, hayakuandikwa katika kitabu cha mambo ya siku za wafalme wa Israeli?
5 Kwa hiyo Yehova Mungu wake akamtia mkononi+ mwa mfalme wa Siria,+ nao wakampiga na kuchukua kutoka kwake hesabu kubwa ya mateka na kuwaleta Damasko.+ Naye pia akatiwa mkononi mwa mfalme wa Israeli,+ naye akampiga kwa mauaji makubwa.