Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 7:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Naye atawatia wafalme wao mkononi mwako,+ nawe lazima uyaharibu majina yao toka chini ya mbingu.+ Hakuna mtu atakayesimama imara dhidi yako,+ mpaka utakapokuwa umewaangamiza.+

  • 2 Samweli 8:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Naye akaweka kambi za kijeshi katika Edomu.+ Katika Edomu yote akaweka kambi za kijeshi, na Waedomu wote wakawa watumishi wa Daudi;+ na Yehova akaendelea kumwokoa Daudi popote alipoenda.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 18:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Basi akaweka kambi za kijeshi katika Edomu, na Waedomu wote wakawa watumishi wa Daudi.+ Na Yehova akaendelea kumwokoa Daudi popote alipoenda.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki