Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 18
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Mambo ya Nyakati 18:1

Marejeo

  • +2Sa 8:1
  • +1Sa 5:8; 27:4; 2Sa 1:20

1 Mambo ya Nyakati 18:2

Marejeo

  • +Hes 24:17; Zb 60:8
  • +2Sa 8:2; 2Fa 3:4

1 Mambo ya Nyakati 18:3

Marejeo

  • +2Sa 8:3; 1Fa 11:23
  • +1Sa 14:47; 2Sa 10:6; Zb 60:utangulizi
  • +2Nya 8:3
  • +Mwa 15:18; Kut 23:31

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    10/1/2005, uku. 11

    “Kila Andiko,” uku. 77

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 10/1 11

1 Mambo ya Nyakati 18:4

Marejeo

  • +2Sa 8:4; Zb 20:7
  • +Kum 17:16; Yos 11:6
  • +Zb 33:17

1 Mambo ya Nyakati 18:5

Marejeo

  • +1Sa 14:47

1 Mambo ya Nyakati 18:6

Marejeo

  • +Isa 7:8
  • +2Sa 8:6; Met 13:22
  • +1Nya 17:8

1 Mambo ya Nyakati 18:7

Marejeo

  • +1Fa 10:16
  • +2Sa 8:7

1 Mambo ya Nyakati 18:8

Marejeo

  • +2Sa 8:8
  • +1Fa 7:23
  • +1Fa 7:15; Yer 52:20
  • +1Fa 7:45

1 Mambo ya Nyakati 18:9

Marejeo

  • +2Sa 8:9
  • +2Sa 8:3

1 Mambo ya Nyakati 18:10

Marejeo

  • +2Sa 8:10
  • +2Nya 9:24

1 Mambo ya Nyakati 18:11

Marejeo

  • +Yos 6:19; 1Nya 29:14; 2Nya 5:1
  • +2Sa 8:11
  • +2Sa 8:12
  • +1Nya 20:1
  • +2Sa 5:25
  • +1Sa 27:8; 30:20

1 Mambo ya Nyakati 18:12

Marejeo

  • +1Sa 26:6; 2Sa 3:30; 10:10; 20:6
  • +2Sa 21:17; 1Nya 2:16
  • +2Sa 8:13

1 Mambo ya Nyakati 18:13

Marejeo

  • +Mwa 25:23; 27:40
  • +2Sa 8:14; Zb 18:48; 144:10

1 Mambo ya Nyakati 18:14

Marejeo

  • +1Fa 2:11
  • +2Sa 8:15; 23:3; Zb 78:72

1 Mambo ya Nyakati 18:15

Marejeo

  • +2Sa 8:16; 1Nya 11:6
  • +1Fa 4:3

1 Mambo ya Nyakati 18:16

Marejeo

  • +2Sa 20:25
  • +2Sa 8:17
  • +2Sa 20:25

1 Mambo ya Nyakati 18:17

Marejeo

  • +2Sa 8:18
  • +1Fa 1:38
  • +1Sa 30:14; Sef 2:5
  • +1Fa 1:44
  • +2Sa 8:18

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Nya. 18:12Sa 8:1
1 Nya. 18:11Sa 5:8; 27:4; 2Sa 1:20
1 Nya. 18:2Hes 24:17; Zb 60:8
1 Nya. 18:22Sa 8:2; 2Fa 3:4
1 Nya. 18:32Sa 8:3; 1Fa 11:23
1 Nya. 18:31Sa 14:47; 2Sa 10:6; Zb 60:utangulizi
1 Nya. 18:32Nya 8:3
1 Nya. 18:3Mwa 15:18; Kut 23:31
1 Nya. 18:42Sa 8:4; Zb 20:7
1 Nya. 18:4Kum 17:16; Yos 11:6
1 Nya. 18:4Zb 33:17
1 Nya. 18:51Sa 14:47
1 Nya. 18:6Isa 7:8
1 Nya. 18:62Sa 8:6; Met 13:22
1 Nya. 18:61Nya 17:8
1 Nya. 18:71Fa 10:16
1 Nya. 18:72Sa 8:7
1 Nya. 18:82Sa 8:8
1 Nya. 18:81Fa 7:23
1 Nya. 18:81Fa 7:15; Yer 52:20
1 Nya. 18:81Fa 7:45
1 Nya. 18:92Sa 8:9
1 Nya. 18:92Sa 8:3
1 Nya. 18:102Sa 8:10
1 Nya. 18:102Nya 9:24
1 Nya. 18:11Yos 6:19; 1Nya 29:14; 2Nya 5:1
1 Nya. 18:112Sa 8:11
1 Nya. 18:112Sa 8:12
1 Nya. 18:111Nya 20:1
1 Nya. 18:112Sa 5:25
1 Nya. 18:111Sa 27:8; 30:20
1 Nya. 18:121Sa 26:6; 2Sa 3:30; 10:10; 20:6
1 Nya. 18:122Sa 21:17; 1Nya 2:16
1 Nya. 18:122Sa 8:13
1 Nya. 18:13Mwa 25:23; 27:40
1 Nya. 18:132Sa 8:14; Zb 18:48; 144:10
1 Nya. 18:141Fa 2:11
1 Nya. 18:142Sa 8:15; 23:3; Zb 78:72
1 Nya. 18:152Sa 8:16; 1Nya 11:6
1 Nya. 18:151Fa 4:3
1 Nya. 18:162Sa 20:25
1 Nya. 18:162Sa 8:17
1 Nya. 18:162Sa 20:25
1 Nya. 18:172Sa 8:18
1 Nya. 18:171Fa 1:38
1 Nya. 18:171Sa 30:14; Sef 2:5
1 Nya. 18:171Fa 1:44
1 Nya. 18:172Sa 8:18
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Mambo ya Nyakati 18:1-17

1 Mambo ya Nyakati

18 Na ikawa baadaye kwamba Daudi akawapiga Wafilisti+ na kuwatiisha na kuchukua Gathi+ na miji yake ya kandokando kutoka mkononi mwa Wafilisti. 2 Kisha akapiga Moabu, na Wamoabu+ wakawa watumishi wa Daudi wenye kuleta ushuru.+

3 Na Daudi akampiga Hadadezeri+ mfalme wa Soba+ kule Hamathi+ alipokuwa akienda zake kuweka mamlaka yake kwenye mto Efrati.+ 4 Tena, Daudi akateka kutoka kwake magari 1,000 na wapanda-farasi 7,000 na watu 20,000 wanaoenda kwa miguu.+ Ndipo Daudi akakata mishipa ya magoti+ ya farasi wote wa magari,+ lakini akawaacha wabaki kati yao farasi 100 wa magari. 5 Wakati Siria ya Damasko walipokuja kumsaidia Hadadezeri mfalme wa Soba,+ Daudi akapiga watu 22,000 kati ya Wasiria. 6 Kisha Daudi akaweka kambi za kijeshi katika Siria ya Damasko,+ na Wasiria wakawa watumishi wa Daudi wenye kuleta ushuru.+ Na Yehova akaendelea kumpa Daudi wokovu popote alipoenda.+ 7 Tena, Daudi akazichukua zile ngao za mviringo+ za dhahabu zilizokuwa kwa watumishi wa Hadadezeri, akazileta Yerusalemu.+ 8 Na Daudi akachukua shaba nyingi sana kutoka katika Tibhathi+ na Kuni, majiji ya Hadadezeri. Sulemani aliitumia kutengeneza ile bahari ya shaba+ na zile nguzo+ na vyombo vya shaba.+

9 Wakati Tou mfalme wa Hamathi+ aliposikia kwamba Daudi amepiga jeshi lote la Hadadezeri+ mfalme wa Soba, 10 ndipo akamtuma haraka Hadoramu+ mwana wake kwa Mfalme Daudi aulize hali yake na kumpongeza kwa sababu alikuwa amepigana na Hadadezeri na kumpiga (kwa maana Hadadezeri alikuwa amezoea kupigana na Tou,) naye alikuwa na aina zote za vyombo vya dhahabu na fedha+ na shaba. 11 Vyombo hivyo pia Mfalme Daudi akavitakasa+ kwa Yehova, pamoja na ile fedha na dhahabu ambayo alikuwa amechukua kutoka kwa mataifa yote,+ kutoka Edomu na kutoka Moabu+ na kutoka kwa wana wa Amoni+ na kutoka kwa Wafilisti+ na kutoka kwa Amaleki.+

12 Naye Abishai+ mwana wa Seruya,+ akawapiga Waedomu katika Bonde la Chumvi,+ watu kumi na nane elfu. 13 Basi akaweka kambi za kijeshi katika Edomu, na Waedomu wote wakawa watumishi wa Daudi.+ Na Yehova akaendelea kumwokoa Daudi popote alipoenda.+ 14 Na Daudi akaendelea kutawala juu ya Israeli yote,+ naye akaendelea kutoa uamuzi wa hukumu na uadilifu kwa ajili ya watu wake wote.+ 15 Na Yoabu mwana wa Seruya alikuwa juu ya jeshi;+ na Yehoshafati+ mwana wa Ahiludi alikuwa karani. 16 Na Sadoki+ mwana wa Ahitubu na Ahimeleki+ mwana wa Abiathari walikuwa makuhani, na Shausha+ alikuwa mwandishi. 17 Na Benaya+ mwana wa Yehoyada+ alikuwa juu ya Wakerethi+ na Wapelethi;+ na wana wa Daudi walikuwa wa kwanza katika cheo kando ya mfalme.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki