2 Naye akawapiga Wamoabu+ pia na kuwapima kwa kamba, akiwalaza chini kwenye udongo, ili apime kamba mbili awaue, na kamba moja kamili ya kuwahifadhi hai;+ na Wamoabu wakawa watumishi wa Daudi+ wa kuleta ushuru.+
4 Naye Mesha+ mfalme wa Moabu akawa mfugaji wa kondoo, akamlipa mfalme wa Israeli wana-kondoo mia moja elfu na kondoo-dume mia moja elfu ambao hawajakatwa manyoya.