2 Wafalme 3:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Naye Mesha+ mfalme wa Moabu akawa mfugaji wa kondoo, akamlipa mfalme wa Israeli wana-kondoo mia moja elfu na kondoo-dume mia moja elfu ambao hawajakatwa manyoya. 2 Mambo ya Nyakati 26:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na Waamoni+ wakaanza kumpa Uzia ushuru.+ Mwishowe sifa+ yake ikaenea mpaka Misri, kwa kuwa alionyesha nguvu kwa kiwango kisicho cha kawaida. Zaburi 72:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Wafalme wa Tarshishi na wa visiwa+—Watalipa ushuru.+Wafalme wa Sheba na wa Seba—Watatoa zawadi.+
4 Naye Mesha+ mfalme wa Moabu akawa mfugaji wa kondoo, akamlipa mfalme wa Israeli wana-kondoo mia moja elfu na kondoo-dume mia moja elfu ambao hawajakatwa manyoya.
8 Na Waamoni+ wakaanza kumpa Uzia ushuru.+ Mwishowe sifa+ yake ikaenea mpaka Misri, kwa kuwa alionyesha nguvu kwa kiwango kisicho cha kawaida.