Mwanzo 19:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Yule mdogo pia akazaa mwana. Akamwita jina lake Ben-ami. Yeye ndiye baba ya wana wa Amoni,+ mpaka leo hii. Waamuzi 11:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 na kumwambia: “Yeftha amesema hivi, ‘Israeli hawakuchukua nchi ya Moabu+ wala nchi ya wana wa Amoni.+
38 Yule mdogo pia akazaa mwana. Akamwita jina lake Ben-ami. Yeye ndiye baba ya wana wa Amoni,+ mpaka leo hii.
15 na kumwambia: “Yeftha amesema hivi, ‘Israeli hawakuchukua nchi ya Moabu+ wala nchi ya wana wa Amoni.+