19 nawe utakaribia mbele ya wana wa Amoni. Usiwasumbue wala usigombane nao, kwa sababu sitakupa sehemu yoyote ya nchi ya wana wa Amoni iwe miliki yako, kwa maana nimewapa wana wa Loti iwe miliki yao.+
37 Ila wewe hukwenda karibu na nchi ya wana wa Amoni,+ ukingo mzima wa bonde la mto la Yaboki,+ wala majiji ya eneo lenye milima, wala kitu chochote ambacho juu yake Yehova Mungu wetu alikuwa ametoa amri.
10 Na sasa, tazama, wana wa Amoni,+ na Moabu+ na eneo lenye milima la Seiri,+ ambao hukuruhusu Israeli wawavamie walipokuwa wakitoka katika nchi ya Misri, bali waligeukia mbali kutoka kwao wala hawakuwaangamiza,+