Kumbukumbu la Torati 3:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na Warubeni+ na Wagadi nimewapa kutoka Gileadi+ hadi kwenye bonde la mto la Arnoni, mpaka ukiwa ni katikati ya lile bonde la mto, hadi Yaboki, lile bonde la mto lililo mpakani mwa wana wa Amoni;+ Waamuzi 11:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 na kumwambia: “Yeftha amesema hivi, ‘Israeli hawakuchukua nchi ya Moabu+ wala nchi ya wana wa Amoni.+
16 Na Warubeni+ na Wagadi nimewapa kutoka Gileadi+ hadi kwenye bonde la mto la Arnoni, mpaka ukiwa ni katikati ya lile bonde la mto, hadi Yaboki, lile bonde la mto lililo mpakani mwa wana wa Amoni;+
15 na kumwambia: “Yeftha amesema hivi, ‘Israeli hawakuchukua nchi ya Moabu+ wala nchi ya wana wa Amoni.+