Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 20:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Acha tupite, tafadhali, katika nchi yako. Hatutapita katika shamba wala katika shamba la mizabibu, wala hatutakunywa maji ya kisima. Katika njia ya mfalme tutapiga mwendo.+ Hatutageuka kuelekea kuume wala kuelekea kushoto,+ mpaka tutakapokuwa tumepita katikati ya eneo lako.’”

  • Hesabu 20:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Basi Edomu akakataa kumpa Israeli ruhusa ya kupita katikati ya eneo lake.+ Kwa hiyo Israeli akageuka na kumwacha.+

  • Kumbukumbu la Torati 2:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Msigombane nao, kwa sababu sitawapa ninyi sehemu ya nchi yao hata upana wa wayo wa mguu; kwa sababu nimempa Esau Mlima Seiri uwe miliki yake.+

  • Kumbukumbu la Torati 2:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Ndipo Yehova akaniambia, ‘Usimsumbue Moabu wala kupigana vita naye, kwa sababu sitakupa wewe sehemu yoyote ya nchi yake iwe miliki yako, kwa maana wana wa Loti+ nimewapa Ari+ iwe miliki yao.

  • Kumbukumbu la Torati 2:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 nawe utakaribia mbele ya wana wa Amoni. Usiwasumbue wala usigombane nao, kwa sababu sitakupa sehemu yoyote ya nchi ya wana wa Amoni iwe miliki yako, kwa maana nimewapa wana wa Loti iwe miliki yao.+

  • Waamuzi 11:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 na kumwambia:

      “Yeftha amesema hivi, ‘Israeli hawakuchukua nchi ya Moabu+ wala nchi ya wana wa Amoni.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki