Hesabu 21:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 na mdomo wa mabonde ya mito, ambao umejipinda kuelekea kiti cha Ari+ na kuegemea juu ya mpaka wa Moabu.” Kumbukumbu la Torati 2:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 ‘Leo utapita karibu na eneo la Moabu, yaani, Ari,+ Isaya 15:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Tangazo juu ya Moabu:+ Kwa sababu limeporwa wakati wa usiku, Ari+ la Moabu limenyamazishwa. Kwa sababu limeporwa wakati wa usiku, Kiri+ la Moabu limenyamazishwa.
15 na mdomo wa mabonde ya mito, ambao umejipinda kuelekea kiti cha Ari+ na kuegemea juu ya mpaka wa Moabu.”
15 Tangazo juu ya Moabu:+ Kwa sababu limeporwa wakati wa usiku, Ari+ la Moabu limenyamazishwa. Kwa sababu limeporwa wakati wa usiku, Kiri+ la Moabu limenyamazishwa.