Yeremia 9:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 “Tazama! Siku zinakuja,” asema Yehova, “nami nitamtoza hesabu kila mtu aliyetahiriwa lakini ambaye bado yumo katika hali ya kutotahiriwa,+ Ezekieli 25:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nami nitafanya matendo ya hukumu katika Moabu;+ nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.’+
25 “Tazama! Siku zinakuja,” asema Yehova, “nami nitamtoza hesabu kila mtu aliyetahiriwa lakini ambaye bado yumo katika hali ya kutotahiriwa,+