51 “Ninyi watu wenye shingo ngumu na wasiotahiriwa katika mioyo+ na masikio, sikuzote mnaipinga roho takatifu; kama mababu zenu walivyofanya, ndivyo ninyi mnavyofanya.+
25 Kwa kweli, kutahiriwa+ kuna faida ikiwa tu unazoea kuifuata sheria;+ lakini ikiwa wewe ni mvunjaji wa sheria,+ kutahiriwa kwako kumekuwa kutotahiriwa.+