Yeremia 9:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 “Tazama! Siku zinakuja,” asema Yehova, “nami nitamtoza hesabu kila mtu aliyetahiriwa lakini ambaye bado yumo katika hali ya kutotahiriwa,+ Wagalatia 5:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana kwa habari ya Kristo Yesu tohara haina faida yoyote wala kutotahiriwa,+ bali imani+ inayotenda kupitia upendo+ ina faida.
25 “Tazama! Siku zinakuja,” asema Yehova, “nami nitamtoza hesabu kila mtu aliyetahiriwa lakini ambaye bado yumo katika hali ya kutotahiriwa,+
6 Kwa maana kwa habari ya Kristo Yesu tohara haina faida yoyote wala kutotahiriwa,+ bali imani+ inayotenda kupitia upendo+ ina faida.