1 Wakorintho 7:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kutahiriwa+ hakumaanishi kitu, na kutotahiriwa+ hakumaanishi kitu, lakini kushika amri za Mungu kuna maana.+ Wagalatia 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Lakini, hata Tito,+ aliyekuwa pamoja nami, hakulazimishwa kutahiriwa,+ ijapokuwa alikuwa Mgiriki. Wagalatia 6:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa maana tohara si kitu wala kutotahiriwa,+ bali kiumbe kipya+ ndicho kitu. Wakolosai 3:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 ambapo hakuna Mgiriki wala Myahudi, tohara wala kutotahiriwa, mgeni, Msikithe, mtumwa, mtu huru,+ bali Kristo ni kila kitu na katika vitu vyote.+
19 Kutahiriwa+ hakumaanishi kitu, na kutotahiriwa+ hakumaanishi kitu, lakini kushika amri za Mungu kuna maana.+
11 ambapo hakuna Mgiriki wala Myahudi, tohara wala kutotahiriwa, mgeni, Msikithe, mtumwa, mtu huru,+ bali Kristo ni kila kitu na katika vitu vyote.+