1 Wathesalonike 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 kwa maana daima sisi hukumbuka akilini kazi yenu ya uaminifu+ na kazi yenu ya jasho yenye upendo na uvumilivu wenu kwa sababu ya tumaini+ lenu katika Bwana wetu Yesu Kristo mbele za Mungu wetu na Baba. 1 Timotheo 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa kweli lengo la amri hii ni upendo+ kutokana na moyo safi+ na kutokana na dhamiri njema+ na kutokana na imani bila unafiki.+
3 kwa maana daima sisi hukumbuka akilini kazi yenu ya uaminifu+ na kazi yenu ya jasho yenye upendo na uvumilivu wenu kwa sababu ya tumaini+ lenu katika Bwana wetu Yesu Kristo mbele za Mungu wetu na Baba.
5 Kwa kweli lengo la amri hii ni upendo+ kutokana na moyo safi+ na kutokana na dhamiri njema+ na kutokana na imani bila unafiki.+