Matendo 23:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Paulo akaikazia macho Sanhedrini, akasema: “Wanaume, akina ndugu, nimejiendesha mbele za Mungu kwa dhamiri+ iliyo safi kikamilifu mpaka leo hii.” Matendo 24:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Katika habari hii, kwa kweli, ninajizoeza mwenyewe sikuzote kudhamiria+ kutomkosea Mungu na wanadamu. 1 Timotheo 3:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 wakiishika siri takatifu+ ya imani kwa dhamiri safi.+ 1 Petro 3:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Iweni na dhamiri njema,+ ili katika lile jambo ambalo wanasema vibaya juu yenu waweze kupata aibu+ wale wanaosema kwa kuushushia heshima mwenendo wenu mwema kuhusiana na Kristo.+
23 Paulo akaikazia macho Sanhedrini, akasema: “Wanaume, akina ndugu, nimejiendesha mbele za Mungu kwa dhamiri+ iliyo safi kikamilifu mpaka leo hii.”
16 Katika habari hii, kwa kweli, ninajizoeza mwenyewe sikuzote kudhamiria+ kutomkosea Mungu na wanadamu.
16 Iweni na dhamiri njema,+ ili katika lile jambo ambalo wanasema vibaya juu yenu waweze kupata aibu+ wale wanaosema kwa kuushushia heshima mwenendo wenu mwema kuhusiana na Kristo.+