Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 6:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Basi wanaume hao wakasema: “Hatutapata kisingizio chochote juu ya Danieli huyu, isipokuwa tukitafute juu yake katika sheria ya Mungu wake.”+

  • Matendo 23:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Paulo akaikazia macho Sanhedrini, akasema: “Wanaume, akina ndugu, nimejiendesha mbele za Mungu kwa dhamiri+ iliyo safi kikamilifu mpaka leo hii.”

  • 1 Wakorintho 4:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kwa maana sifahamu+ kitu chochote dhidi yangu mwenyewe. Lakini kwa hilo sionyeshwi kuwa mwadilifu, bali yeye anayenichunguza ni Yehova.+

  • Waebrania 13:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Endeleeni kusali+ kwa ajili yetu, kwa maana sisi tuna uhakika kwamba tuna dhamiri nyoofu, kwa kuwa tunataka kujiendesha kwa unyoofu katika mambo yote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki