Methali 21:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kila njia ya mwanadamu imenyooka machoni pake mwenyewe,+ lakini Yehova anaipima mioyo.+ Waroma 14:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Lakini kwa nini wewe unamhukumu ndugu yako?+ Au kwa nini wewe pia unamdharau ndugu yako? Kwa maana sisi sote tutasimama mbele ya kiti cha hukumu+ cha Mungu; Waebrania 4:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na hakuna kiumbe kisichokuwa wazi machoni pake,+ bali vitu vyote viko uchi navyo vimefunuliwa wazi machoni pake yeye ambaye tunatoa hesabu kwake.+
10 Lakini kwa nini wewe unamhukumu ndugu yako?+ Au kwa nini wewe pia unamdharau ndugu yako? Kwa maana sisi sote tutasimama mbele ya kiti cha hukumu+ cha Mungu;
13 Na hakuna kiumbe kisichokuwa wazi machoni pake,+ bali vitu vyote viko uchi navyo vimefunuliwa wazi machoni pake yeye ambaye tunatoa hesabu kwake.+