Luka 6:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 “Zaidi ya hayo, acheni kuhukumu, nanyi hamtahukumiwa;+ na acheni kulaumu, nanyi hamtalaumiwa. Endeleeni kuachilia, nanyi mtaachiliwa.+ Waroma 14:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Wewe ni nani ili umhukumu mtumishi wa nyumbani wa mwingine?+ Kwa bwana wake mwenyewe yeye husimama au kuanguka.+ Kwa kweli, atasimamishwa, kwa maana Yehova anaweza kumsimamisha. +
37 “Zaidi ya hayo, acheni kuhukumu, nanyi hamtahukumiwa;+ na acheni kulaumu, nanyi hamtalaumiwa. Endeleeni kuachilia, nanyi mtaachiliwa.+
4 Wewe ni nani ili umhukumu mtumishi wa nyumbani wa mwingine?+ Kwa bwana wake mwenyewe yeye husimama au kuanguka.+ Kwa kweli, atasimamishwa, kwa maana Yehova anaweza kumsimamisha. +