2Kwa hiyo wewe huna sababu ya kujitetea, Ee mwanadamu,+ hata uwe nani, ukihukumu;+ kwa maana katika jambo lile ambalo unamhukumu mwingine, unajihukumu mwenyewe kuwa una hatia, kwa sababu wewe unayehukumu+ una mazoea ya kufanya mambo hayo hayo.+
10 Lakini kwa nini wewe unamhukumu ndugu yako?+ Au kwa nini wewe pia unamdharau ndugu yako? Kwa maana sisi sote tutasimama mbele ya kiti cha hukumu+ cha Mungu;