2Kwa hiyo wewe huna sababu ya kujitetea, Ee mwanadamu,+ hata uwe nani, ukihukumu;+ kwa maana katika jambo lile ambalo unamhukumu mwingine, unajihukumu mwenyewe kuwa una hatia, kwa sababu wewe unayehukumu+ una mazoea ya kufanya mambo hayo hayo.+
13 Kwa hiyo sisi na tusiwe tukihukumiana+ tena, bali badala yake fanyeni hili kuwa uamuzi+ wenu, kutokuweka mbele ya ndugu+ kikwazo+ au sababu ya kujikwaa.
5 Kwa hiyo msihukumu+ kitu chochote kabla ya wakati unaofaa, mpaka Bwana aje,+ atakayeyaleta kwenye nuru mambo ya siri yaliyo ya giza+ na pia kuyafunua mashauri ya mioyo,+ na ndipo kila mtu atakapopata sifa yake kutoka kwa Mungu.+