Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 58:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Je, huku siko kule kufunga ambako mimi nachagua? Kufungua pingu za uovu,+ kufungua vifungo vya nira,+ na kuwaachilia huru wale waliopondwa,+ na kwamba ninyi mkate kila nira iwe vipande viwili?+

  • Mathayo 6:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “Kwa maana ikiwa mnawasamehe watu makosa yao, Baba yenu wa mbinguni atawasamehe ninyi pia;+

  • Marko 11:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Na mnaposimama mkisali, wasameheni+ watu chochote mlicho nacho dhidi yao; ili Baba yenu aliye mbinguni awasamehe makosa yenu ninyi pia.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki