Isaya 58:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Je, huku siko kule kufunga ambako mimi nachagua? Kufungua pingu za uovu,+ kufungua vifungo vya nira,+ na kuwaachilia huru wale waliopondwa,+ na kwamba ninyi mkate kila nira iwe vipande viwili?+ Mathayo 6:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Kwa maana ikiwa mnawasamehe watu makosa yao, Baba yenu wa mbinguni atawasamehe ninyi pia;+ Marko 11:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Na mnaposimama mkisali, wasameheni+ watu chochote mlicho nacho dhidi yao; ili Baba yenu aliye mbinguni awasamehe makosa yenu ninyi pia.”+
6 “Je, huku siko kule kufunga ambako mimi nachagua? Kufungua pingu za uovu,+ kufungua vifungo vya nira,+ na kuwaachilia huru wale waliopondwa,+ na kwamba ninyi mkate kila nira iwe vipande viwili?+
25 Na mnaposimama mkisali, wasameheni+ watu chochote mlicho nacho dhidi yao; ili Baba yenu aliye mbinguni awasamehe makosa yenu ninyi pia.”+