Nehemia 5:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nami nikawaambia: “Sisi wenyewe tumewanunua+ ndugu zetu Wayahudi waliouzwa kwa mataifa, kwa kadiri ya uwezo wetu; je, wakati uleule ninyi mtawauza ndugu zenu,+ na je, wauzwe kwetu?” Ndipo wakanyamaza kimya, wala hawakupata neno lolote la kusema.+ Methali 28:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Anayempa kitu maskini hatakuwa na uhitaji,+ lakini yeye anayeficha macho yake atapata laana nyingi.+
8 Nami nikawaambia: “Sisi wenyewe tumewanunua+ ndugu zetu Wayahudi waliouzwa kwa mataifa, kwa kadiri ya uwezo wetu; je, wakati uleule ninyi mtawauza ndugu zenu,+ na je, wauzwe kwetu?” Ndipo wakanyamaza kimya, wala hawakupata neno lolote la kusema.+
27 Anayempa kitu maskini hatakuwa na uhitaji,+ lakini yeye anayeficha macho yake atapata laana nyingi.+