Nehemia 5:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nikawaambia: “Kwa kadiri tulivyoweza, tumewanunua ndugu zetu wenyewe, Wayahudi, waliouzwa kwa mataifa; lakini je, sasa mtawauza ndugu zenu wenyewe,+ nasi tulazimike kuwanunua tena?” Ndipo wakanyamaza kimya, hawakuwa na lolote la kusema.
8 Nikawaambia: “Kwa kadiri tulivyoweza, tumewanunua ndugu zetu wenyewe, Wayahudi, waliouzwa kwa mataifa; lakini je, sasa mtawauza ndugu zenu wenyewe,+ nasi tulazimike kuwanunua tena?” Ndipo wakanyamaza kimya, hawakuwa na lolote la kusema.