35 “‘Na ikiwa ndugu yako atakuwa maskini na kwa hiyo ni dhaifu kifedha karibu nawe,+ utamtegemeza pia.+ Kama mkaaji mgeni na kama mhamiaji,+ ataendelea kukaa akiwa hai pamoja nawe.
7 “Ikiwa mmoja wa ndugu zako atakuwa maskini kati yako katika moja la majiji yako, katika nchi yako ambayo Yehova Mungu wako anakupa, usiufanye moyo wako kuwa mgumu wala kuufunga mkono wako kumwelekea ndugu yako aliye maskini.+
9 kila mtu kumwachilia huru mtumishi wake wa kiume na kila mtu mjakazi wake, mwanamume Mwebrania+ na mwanamke Mwebrania, ili wasiwatumie kama watumishi, yaani, Myahudi, ambaye ni ndugu yake.+