Mambo ya Walawi 25:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 “‘Na ikiwa ndugu yako atakuwa maskini karibu nawe naye alazimike kujiuza kwako,+ usimtumie kama mfanyakazi katika utumishi wa kitumwa.+ Nehemia 5:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nami nikawaambia: “Sisi wenyewe tumewanunua+ ndugu zetu Wayahudi waliouzwa kwa mataifa, kwa kadiri ya uwezo wetu; je, wakati uleule ninyi mtawauza ndugu zenu,+ na je, wauzwe kwetu?” Ndipo wakanyamaza kimya, wala hawakupata neno lolote la kusema.+
39 “‘Na ikiwa ndugu yako atakuwa maskini karibu nawe naye alazimike kujiuza kwako,+ usimtumie kama mfanyakazi katika utumishi wa kitumwa.+
8 Nami nikawaambia: “Sisi wenyewe tumewanunua+ ndugu zetu Wayahudi waliouzwa kwa mataifa, kwa kadiri ya uwezo wetu; je, wakati uleule ninyi mtawauza ndugu zenu,+ na je, wauzwe kwetu?” Ndipo wakanyamaza kimya, wala hawakupata neno lolote la kusema.+