Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 21:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Ikiwa utamnunua mtumwa+ Mwebrania, atakuwa mtumwa kwa miaka sita, lakini mwaka wa saba ataondoka kama mtu aliyewekwa huru bila malipo.+

  • Kumbukumbu la Torati 15:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Ikiwa utauziwa ndugu yako, mwanamume Mwebrania au mwanamke Mwebrania,+ naye amekutumikia kwa miaka sita, basi katika mwaka wa saba utamruhusu aondoke kwako kama mtu aliyewekwa huru.+

  • 2 Wafalme 4:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Basi palikuwa na mwanamke fulani wa wake za wana+ wa manabii aliyemlilia Elisha, akisema: “Mtumishi wako, mume wangu, amekufa; nawe unajua vema kwamba mtumishi wako aliendelea kumwogopa+ Yehova, na mkopeshaji+ amekuja kuwachukua watoto wangu wawili wawe watumwa wake.”

  • Nehemia 5:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na sasa jamaa zetu ni sawa na jamaa za ndugu zetu;+ wana wetu ni sawa na wana wao, lakini tazama, tunawashusha wana wetu na binti zetu kuwa watumwa,+ na tayari wengine kati ya binti zetu wamefanywa watumwa; wala hakuna nguvu mikononi mwetu kwa kuwa mashamba yetu na mizabibu yetu imekuwa ya wengine.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki