4 Basi mke wa mmoja wa wana wa manabii+ akamlilia Elisha akisema: “Mume wangu ambaye ni mtumishi wako amekufa, nawe unajua vizuri kwamba mtumishi wako alimwogopa Yehova sikuzote.+ Sasa mtu fulani aliyemdai mume wangu deni fulani amekuja kuwachukua watoto wangu wawili wawe watumwa wake.”