14 “Mwishoni mwa miaka saba mnapaswa kumwachilia kila mtu ndugu yake,+ Mwebrania,+ ambaye uliuziwa+ na ambaye amekutumikia miaka sita; nawe lazima umwachilie aende huru asiwe pamoja nawe.” Lakini mababu zenu hawakunisikiliza, wala hawakutega sikio lao.+