Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 15:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Ikiwa utauziwa ndugu yako, mwanamume Mwebrania au mwanamke Mwebrania,+ naye amekutumikia kwa miaka sita, basi katika mwaka wa saba utamruhusu aondoke kwako kama mtu aliyewekwa huru.+

  • Yeremia 34:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “Mwishoni mwa miaka saba mnapaswa kumwachilia kila mtu ndugu yake,+ Mwebrania,+ ambaye uliuziwa+ na ambaye amekutumikia miaka sita; nawe lazima umwachilie aende huru asiwe pamoja nawe.” Lakini mababu zenu hawakunisikiliza, wala hawakutega sikio lao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki