Yeremia 34:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Mwishoni mwa miaka saba, kila mmoja wenu anapaswa kumwachilia huru ndugu yake Mwebrania aliyeuzwa kwake na ambaye amemtumikia miaka sita; lazima umwachilie huru.”+ Lakini mababu zenu hawakunisikiliza wala kunitegea masikio yao.
14 “Mwishoni mwa miaka saba, kila mmoja wenu anapaswa kumwachilia huru ndugu yake Mwebrania aliyeuzwa kwake na ambaye amemtumikia miaka sita; lazima umwachilie huru.”+ Lakini mababu zenu hawakunisikiliza wala kunitegea masikio yao.