Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 21:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Ukimnunua mtumwa Mwebrania,+ atakuwa mtumwa kwa miaka sita, lakini mwaka wa saba, utamweka huru, naye hatalipa chochote.+

  • Mambo ya Walawi 25:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Mtautakasa mwaka wa 50 na kutangaza uhuru kwa wakaaji wote nchini.+ Utakuwa Mwadhimisho wa Miaka 50, na kila mmoja atarudi kwenye urithi wake na kila mmoja wenu atarudi kwa familia yake.+

  • Mambo ya Walawi 25:39-42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 “‘Ikiwa ndugu yako anayeishi karibu nawe amelazimika kujiuza kwako+ kwa sababu amekuwa maskini, usimlazimishe akutumikie kama mtumwa.+ 40 Unapaswa kumtendea kama kibarua,+ kama mhamiaji. Atakutumikia mpaka wakati wa Mwadhimisho wa Miaka 50. 41 Kisha atakuacha, yeye na watoto* wake, na kurudi kwa watu wake wa ukoo. Anapaswa kurudi kwenye urithi wa mababu zake.+ 42 Kwa maana wao ni watumwa wangu niliowatoa nchini Misri.+ Hawapaswi kujiuza kama mtumwa anavyouzwa.

  • Kumbukumbu la Torati 15:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Ikiwa uliuziwa ndugu yako, mwanamume au mwanamke Mwebrania, naye amekutumikia kwa miaka sita, basi katika mwaka wa saba unapaswa kumwachilia huru.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki