Mambo ya Walawi 27:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Katika mwaka wa Mwadhimisho wa Miaka 50, shamba litarudishwa kwa yule aliyeliuza, kwa mtu ambaye shamba hilo ni mali yake.+ Hesabu 36:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Waisraeli wanapofanya Mwadhimisho wa Miaka 50,+ urithi wa wanawake hao utaongezwa kwenye urithi wa kabila walimoolewa, na hivyo urithi wao utaondolewa kutoka katika urithi wa kabila la baba zetu.” Kumbukumbu la Torati 15:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “Mwishoni mwa kila miaka saba mnapaswa kufuta madeni.+
24 Katika mwaka wa Mwadhimisho wa Miaka 50, shamba litarudishwa kwa yule aliyeliuza, kwa mtu ambaye shamba hilo ni mali yake.+
4 Waisraeli wanapofanya Mwadhimisho wa Miaka 50,+ urithi wa wanawake hao utaongezwa kwenye urithi wa kabila walimoolewa, na hivyo urithi wao utaondolewa kutoka katika urithi wa kabila la baba zetu.”