Kutoka 21:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Ikiwa utamnunua mtumwa+ Mwebrania, atakuwa mtumwa kwa miaka sita, lakini mwaka wa saba ataondoka kama mtu aliyewekwa huru bila malipo.+ Mambo ya Walawi 25:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 “‘Na ikiwa ndugu yako atakuwa maskini karibu nawe naye alazimike kujiuza kwako,+ usimtumie kama mfanyakazi katika utumishi wa kitumwa.+
2 “Ikiwa utamnunua mtumwa+ Mwebrania, atakuwa mtumwa kwa miaka sita, lakini mwaka wa saba ataondoka kama mtu aliyewekwa huru bila malipo.+
39 “‘Na ikiwa ndugu yako atakuwa maskini karibu nawe naye alazimike kujiuza kwako,+ usimtumie kama mfanyakazi katika utumishi wa kitumwa.+