Kutoka 21:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Ikiwa utamnunua mtumwa+ Mwebrania, atakuwa mtumwa kwa miaka sita, lakini mwaka wa saba ataondoka kama mtu aliyewekwa huru bila malipo.+ Mambo ya Walawi 25:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Naye ataondoka kwako, yeye na wanawe pamoja naye, naye atarudi kwa familia yake, naye atarudi kwa miliki ya mababu zake.+
2 “Ikiwa utamnunua mtumwa+ Mwebrania, atakuwa mtumwa kwa miaka sita, lakini mwaka wa saba ataondoka kama mtu aliyewekwa huru bila malipo.+
41 Naye ataondoka kwako, yeye na wanawe pamoja naye, naye atarudi kwa familia yake, naye atarudi kwa miliki ya mababu zake.+